Numbers 7:72 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku ya kumi na moja Pagieli, mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Aseri, akaleta vipaji vyake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;