Numbers 7:78 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na siku ya kumi na mbili ilikuwa zamu ya Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa kabila la Naftali.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa watu wa Naftali, alileta sadaka yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, mkuu wa wana wa Naftali;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na siku ya kumi na mbili ilikuwa zamu ya Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa kabila la Naftali.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa watu wa Naftali, alileta sadaka yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa watu wa Naftali, alileta sadaka yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, mkuu wa wana wa Naftali;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na siku ya kumi na mbili ilikuwa zamu ya Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa kabila la Naftali.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku ya kumi na mbili Ahira, mwana wa Enani, mkuu wa wana wa Nafutali, akaleta vipaji vyake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, mkuu wa wana wa Naftali;