Numbers 8:25 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na kustaafu afikishapo umri wa miaka hamsini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
tena tangu waliopata umri wa miaka hamsini wataacha kutumika huo utumishi, wasitumike tena;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na kustaafu afikishapo umri wa miaka hamsini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
tena tangu waliopata umri wa miaka hamsini wasiendelee kuhudumu tena;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na kustaafu afikishapo umri wa miaka hamsini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini tangu hapo, mtu anapopata miaka 50 na atoke katika zamu ya utumishi huo, asiutumikie tena.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
tena tangu waliopata umri wa miaka hamsini wataacha kutumika huo utumishi, wasitumike tena;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na tangu umri wa miaka makumi tano ataacha kazi; asitumike tena.