Obadiah 1:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Msingelisimama kwenye njia panda na kuwakamata wakimbizi wao; wala msingeliwakabidhi kwa adui zao wale waliobaki hai.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usingengoja kwenye njia panda na kuwaua wakimbizi wao, wala kuwatoa watu wake waliosalia katika siku ya shida yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala usisimame penye njia panda, ili kuwakatilia mbali watu wake wakimbiao; wala usiwatoe watu wake waliosalia, katika siku ya dhiki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Msingelisimama kwenye njia panda na kuwakamata wakimbizi wao; wala msingeliwakabidhi kwa adui zao wale waliobaki hai.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usingengoja kwenye njia panda na kuwaua wakimbizi wao, wala kuwatoa watu wake waliosalia katika siku ya shida yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usingengoja kwenye njia panda na kuwaua wakimbizi wao, wala kuwatoa watu wake waliosalia katika siku ya shida yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala usisimame penye njia panda, ili kuwakatilia mbali watu wake wakimbiao; wala usiwatoe watu wake waliosalia, katika siku ya dhiki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Msingelisimama kwenye njia panda na kuwakamata wakimbizi wao; wala msingeliwakabidhi kwa adui zao wale waliobaki hai.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wala usisimame penye njia panda kuwaua watu wao waliokimbia! Wala masao yao usiwatie mikononi mwa adui siku, wakisongeka!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala usisimame penye njia panda, ili kuwakatilia mbali watu wake wakimbiao; wala usiwatoe watu wake waliosalia, katika siku ya dhiki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
hamukupaswa kusimama kwenye masanganjia na kuwakamata wakimbizi wao, hamukupaswa kuwatoa kwa waadui zao wale waliobaki wazima.