Obadiah 1:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ewe Temani, mashujaa wako watatishika na kila mtu atauawa mlimani Esau.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu, kila mmoja katika milima ya Esau ataangushwa chini kwa kuchinjwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ewe Temani, mashujaa wako watatishika na kila mtu atauawa mlimani Esau.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu, kila mmoja katika milima ya Esau ataangushwa chini kwa kuchinjwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu, kila mmoja katika milima ya Esau ataangushwa chini kwa kuchinjwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ewe Temani, mashujaa wako watatishika na kila mtu atauawa mlimani Esau.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, mafundi wenu wa vita, ninyi Watemani, watakapokata tamaa, kusudi kila mmoja ang'olewe milimani kwa Esau kwa kuuawa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ewe muji wa Temani, mashujaa wako wataogopa na kila mutu juu ya mulima wa wazao wa Esau.