Philippians 2:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Pasiwe na mtu anayetafuta faida yake mwenyewe tu bali faida ya mwenzake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila mmoja wenu asiangalie faida yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila mmoja wenu asijishugulishe kwa mema yake yeye mwenyewe bali kwa mema ya wengine.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Pasiwe na mtu anayetafuta faida yake mwenyewe tu bali faida ya mwenzake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Pasiwe na mtu anayetafuta faida yake mwenyewe tu bali faida ya mwenzake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila mmoja wenu asiangalie mambo yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila mmoja wenu asiangalie faida yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Pasiwe na mtu anayetafuta faida yake mwenyewe tu bali faida ya mwenzake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila mtu asiyaangalie yaliyo yake tu, ila na ayaangalie nayo yaliyo yake mwenziwe!*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila mutu asitafute faida yake mwenyewe, lakini atafute faida ya watu wengine.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
killa mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, hali killa mtu mamho ya wengine.