Philippians 2:8 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza, akatii hata mauti: naam, mauti ya msalaba!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Alijinyenyekeza na akawa mtiifu kabisa kwa Mungu, hata jambo hilo liliposababisha kifo chake msalabani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza, akatii hata mauti: naam, mauti ya msalaba!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza, akatii hata mauti: naam, mauti ya msalaba!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alijinyenyekesha na kutii mpaka kufa, hata kufa msalabani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akajinyenyekeza mwenyewe, akawa mwenye kutii mpaka kufa, kweli mpaka kufa msalabani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alijinyenyekeza na kutii mpaka kufa, ndiko kufa kwake juu ya musalaba.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
tena, alipoonekana ana umho kama mwana Adamu, alijidhili, akawa mtii hatta mauti, nayo mauti ya msalaba.