Proverbs 10:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wenye hekima huhifadhi maarifa, lakini kuropoka kwa mpumbavu huleta maangamizi haraka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wenye hekima huhifadhi maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hualika maangamizi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wenye hekima huhifadhi maarifa, lakini kuropoka kwa mpumbavu huleta maangamizi haraka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wenye hekima huhifadhi maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hualika maangamizi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wenye hekima huhifadhi maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hualika maangamizi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wenye hekima huhifadhi maarifa, lakini kuropoka kwa mpumbavu huleta maangamizi haraka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Werevu wa kweli hulimbika ujuzi, lakini kinywa chake mjinga ni mwangamizo ulio karibu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wenye hekima wanalinda maarifa, lakini kusemasema kwa mupumbafu kunaleta maangamizi haraka.