Proverbs 10:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mali ya tajiri ndio ngome yake, umaskini wa maskini humletea maangamizi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, bali ufukara ni maangamizi ya maskini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mali ya mtu tajiri ni mji wake wa nguvu; Uangamivu wa maskini ni umaskini wao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mali ya tajiri ndio ngome yake, umaskini wa maskini humletea maangamizi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mali ya tajiri ni mji wao wenye ngome, bali ufukara ni maangamizi ya maskini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, bali ufukara ni maangamizi ya maskini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mali ya tajiri ndio ngome yake; Ufukara wa maskini ndio umwangamizao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mali ya tajiri ndio ngome yake, umaskini wa maskini humletea maangamizi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mali zake mkwasi ni boma lake lenye nguvu, lakini ukosefu wao wanyonge kuwalegeza mioyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mali ya mtu tajiri ni mji wake wa nguvu; Uangamivu wa maskini ni umaskini wao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mali ya tajiri ndiyo kikingio chake. Umasikini wa masikini unamuletea maangamizi.