Proverbs 10:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Amchukiaye mwingine kwa siri ni mnafiki, anayemsingizia mtu ni mpumbavu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo, na yeyote anayeeneza uchonganishi ni mpumbavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye afichaye chuki ana midomo ya uongo, Na yeye asingiziaye ni mpumbavu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Amchukiaye mwingine kwa siri ni mnafiki, anayemsingizia mtu ni mpumbavu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo, na ye yote anayeeneza uchonganishi ni mpumbavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo, na yeyote anayeeneza uchonganishi ni mpumbavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye afichaye chuki ana midomo ya uongo, Na yeye asingiziaye ni mpumbavu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Amchukiaye mwingine kwa siri ni mnafiki, anayemsingizia mtu ni mpumbavu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwenye uchukivu moyoni husema madanganyifu, naye aenezaye masingizio ni mpumbavu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye afichaye chuki ana midomo ya uongo, Na yeye asingiziaye ni mpumbavu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayemuchukia mwingine kwa siri ni munafiki. Anayemusingizia mutu ni mupumbafu.