Proverbs 10:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Dhambi haiondolewi kwa maneno mengi, bali wenye busara huzuia ulimi wao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani, lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni mwenye busara.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani, lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni mwenye busara.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Penye maneno mengi hapakosekani makosa, lakini aneyeuzuia ulimi wake ana busara.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asemaye maneno mengi hakosi kuwa mpotovu, lakini ajuaye kuizuia midomo yake ni mjuzi kweli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwenye kuwa maneno mengi hakukosekani makosa, lakini aneyezuia ulimi wake ana akili.