Proverbs 10:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mali iliyopatikana kwa njia mbaya haifai, lakini uadilifu huokoa mtu kutoka kifoni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai, lakini uadilifu huokoa kutoka mautini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hazina za uovu hazifaidii kitu; Bali haki huokoa na mauti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mali iliyopatikana kwa njia mbaya haifai, lakini uadilifu huokoa mtu kutoka kifoni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai, lakini uadilifu huokoa kutoka mautini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai, lakini uadilifu huokoa kutoka mautini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hazina za uovu hazifaidii kitu; Bali haki huokoa na mauti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mali iliyopatikana kwa njia mbaya haifai, lakini uadilifu huokoa mtu kutoka kifoni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Malimbiko yaliyopatwa kwa uovu hayafai kitu, lakini wongofu huponya kufani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hazina za uovu hazifaidii kitu; Bali haki huokoa na mauti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mali iliyopatikana kwa njia mbaya haifai, lakini haki inaokoa mutu kutoka kifo.