Proverbs 10:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maneno ya mwadilifu ni kama fedha bora; akili ya mtu mwovu haina thamani yoyote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora, bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ulimi wa mwenye haki ni kama fedha teule; Moyo wa mtu mbaya haufai kitu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maneno ya mwadilifu ni kama fedha bora; akili ya mtu mwovu haina thamani yoyote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora, bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora, bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ulimi wa mwenye haki ni kama fedha safi; Moyo wa mtu mbaya haufai kitu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maneno ya mwadilifu ni kama fedha bora; akili ya mtu mwovu haina thamani yoyote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ulimi wa mwongofu ni fedha zilizochaguliwa, lakini mioyo yao wasiomcha Mungu haina kima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ulimi wa mwenye haki ni kama fedha teule; Moyo wa mtu mbaya haufai kitu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maneno ya mwenye haki ni kama feza bora. Akili ya mutu mwovu haifai kwa kitu chochote.