Proverbs 10:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maneno ya mwadilifu huwafaa watu wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa akili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Midomo ya mwenye haki hulisha wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa ufahamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Midomo ya mwenye haki hulisha watu wengi; Bali wapumbavu hufa kwa kuwa hawana ufahamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maneno ya mwadilifu huwafaa watu wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa akili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Midomo ya mwenye haki hulisha wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa ufahamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Midomo ya mwenye haki hulisha wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa ufahamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Midomo ya mwenye haki hulisha watu wengi; Bali wapumbavu hufa kwa kuwa hawana ufahamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maneno ya mwadilifu huwafaa watu wengi, lakini wapumbavu hufa kwa kukosa akili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Midomo ya mwongofu hulisha wengi, lakini wajinga hufa kwa kupotelewa na akili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Midomo ya mwenye haki hulisha watu wengi; Bali wapumbavu hufa kwa kuwa hawana ufahamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maneno ya mwenye haki yanawafalia watu wengi, lakini wapumbafu wanakufa kwa kukosa akili.