Proverbs 10:25 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kimbunga hupita na mwovu hutoweka, lakini mwadilifu huimarishwa milele.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tufani inapopita, waovu hutoweka, lakini wenye haki husimama imara milele.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kimbunga hupita na mwovu hutoweka, lakini mwadilifu huimarishwa milele.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tufani inapopita, waovu hutoweka, lakini wenye haki husimama imara milele.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tufani inapopita, waovu hutoweka, lakini wenye haki husimama imara milele.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kimbunga hupita na mwovu hutoweka, lakini mwadilifu huimarishwa milele.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Upepo mkali unapopitia, asiyemcha Mungu hayupo tena, lakini mwongofu anao msingi wa kale na kale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Upepo mukali unapopita na mwovu anatoweka, lakini mwenye haki anaimarishwa milele.