Proverbs 10:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tumaini la mwadilifu huishia kwenye furaha, lakini tazamio la mwovu huishia patupu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tarajio la mwenye haki ni furaha, bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali kutaraji kwao wasio haki kutapotea.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tumaini la mwadilifu huishia kwenye furaha, lakini tazamio la mwovu huishia patupu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tarajio la mwenye haki ni furaha, bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tarajio la mwenye haki ni furaha, bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tumaini la mwadilifu huishia kwenye furaha, lakini tazamio la mwovu huishia patupu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kungojea kwao waongofu hugeuka kuwa furaha, lakini matumaini yao wasiomcha Mungu hupotea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali kutaraji kwao wasio haki kutapotea.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tumaini la mwenye haki linaleta furaha, lakini tazamio la mwovu linapotea bure.