Proverbs 10:30 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waadilifu kamwe hawataondolewa nchini, lakini waovu hawatakaa katika nchi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kamwe wenye haki hawataondolewa, bali waovu hawatasalia katika nchi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waadilifu kamwe hawataondolewa nchini, lakini waovu hawatakaa katika nchi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kamwe wenye haki hawataondolewa, bali waovu hawatasalia katika nchi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kamwe wenye haki hawataondolewa, bali waovu hawatasalia katika nchi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waadilifu kamwe hawataondolewa nchini, lakini waovu hawatakaa katika nchi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwongofu hatukusiki kale na kale, lakini wasiomcha Mungu hawatakaa katika nchi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wenye haki hawataondolewa katika inchi hata kidogo, lakini waovu hawatakaa katika inchi.