Proverbs 10:31 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kinywa cha mwadilifu hutoa mambo ya hekima, lakini ulimi wa mtu mbaya utakatiliwa mbali.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima, bali ulimi wa upotovu utakatwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima; Bali ulimi wa ukaidi utakatiliwa mbali.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kinywa cha mwadilifu hutoa mambo ya hekima, lakini ulimi wa mtu mbaya utakatiliwa mbali.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima, bali ulimi wa upotovu utakatwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima, bali ulimi wa upotovu utakatwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima; Bali ulimi wa ukaidi utakatiliwa mbali.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kinywa cha mwadilifu hutoa mambo ya hekima, lakini ulimi wa mtu mbaya utakatiliwa mbali.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kinywa cha mwongofu huchipuza yenye werevu wa kweli, lakini ulimi usemao mapotovu utang'olewa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima; Bali ulimi wa ukaidi utakatiliwa mbali.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kinywa cha mwenye haki kinatoa mambo ya hekima, lakini ulimi wa mutu mubaya utakatwa mbali.