Proverbs 10:32 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika, lakini vinywa vya waovu husema tu maovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Midomo ya wenye haki hujua kile chenye kibali, bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika, lakini vinywa vya waovu husema tu maovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa, bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa, bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Midomo ya waadilifu hujua yanayokubalika, lakini vinywa vya waovu husema tu maovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Midomo ya mwongofu huyajua yapendezayo, lakini vinywa vyao wasiomcha Mungu hujua mapotovu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Midomo ya wenye haki inajua mambo yatakayokubaliwa, lakini vinywa vya waovu vinasema tu maovu.