Proverbs 10:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uvivu husababisha umaskini, lakini mkono wa mtu wa bidii hutajirisha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini lakini mikono yenye bidii huleta utajiri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uvivu husababisha umaskini, lakini mkono wa mtu wa bidii hutajirisha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini lakini mikono yenye bidii huleta utajiri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini lakini mikono yenye bidii huleta utajiri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uvivu husababisha umaskini, lakini mkono wa mtu wa bidii hutajirisha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Afanyaye kazi na kulegeza mikono hapati kitu, lakini mikono yao wajihimizao hupata mali.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uvivu unasababisha umasikini, lakini mukono wa mutu wa bidii unajitajirisha.