Proverbs 10:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye busara hukusanya wakati wa mavuno, kulala wakati wa kuvuna ni aibu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni mwana mwenye hekima, lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akusanyaye wakati wa hari ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye busara hukusanya wakati wa mavuno, kulala wakati wa kuvuna ni aibu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni mwana mwenye hekima, lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni mwana mwenye hekima, lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye busara hukusanya wakati wa mavuno, kulala wakati wa kuvuna ni aibu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Avunaye siku za kipupwe ni mwenye akili, lakini alalaye siku za mavuno hujipatia soni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akusanyaye wakati wa hari ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye akili anakusanya wakati wa mavuno. Kulala wakati wa kuvuna ni haya.