Proverbs 10:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwadilifu hujiletea baraka yeye mwenyewe, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na ukatili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki, lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Baraka humkalia mwenye haki kichwani; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwadilifu hujiletea baraka yeye mwenyewe, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na ukatili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki, lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki, lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Baraka humkalia mwenye haki kichwani; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwadilifu hujiletea baraka yeye mwenyewe, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na ukatili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mbaraka hukikalia kichwa cha mwongofu, lakini vinywani mwao wasiomcha Mungu yamo makorofi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Baraka humkalia mwenye haki kichwani; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye haki anajiletea baraka yeye mwenyewe, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na mateso makali.