Proverbs 10:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waadilifu hukumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahaulika kabisa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka, lakini jina la mwovu litaoza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waadilifu hukumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahaulika kabisa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka, lakini jina la mwovu litaoza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka, lakini jina la mwovu litaoza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waadilifu hukumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahaulika kabisa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ukumbuko wa mwongofu huleta mbaraka, lakini majina yao wasiomcha Mungu huoza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye haki anakumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahauliwa kabisa.