Proverbs 10:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye hekima moyoni hutii amri, lakini mpumbavu aropokaye ataangamia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo, lakini mpumbavu apayukaye huangamia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye hekima moyoni hutii amri, lakini mpumbavu aropokaye ataangamia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo, lakini mpumbavu apayukaye huangamia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo, lakini mpumbavu apayukaye huangamia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye hekima moyoni hutii amri, lakini mpumbavu aropokaye ataangamia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwerevu wa moyo huonyeka, lakini mjinga anayejisemea tu hujiangamiza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye hekima anakubali maonyo, lakini mupumbafu anayesemasema mingi ataangamia.