Proverbs 10:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aishiye kwa unyofu huishi salama, apotoshaye maisha yake atagunduliwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwadilifu hutembea salama, lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka atagunduliwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aishiye kwa unyofu huishi salama, apotoshaye maisha yake atagunduliwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwadilifu hutembea salama, lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka atagundulika.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwadilifu hutembea salama, lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka atagunduliwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aishiye kwa unyofu huishi salama, apotoshaye maisha yake atagunduliwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aendeleaye pasipo kukosa huenda na kutulia, lakini azipotoaye njia zake hujulikana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayeishi kwa ukamilifu anaishi salama, lakini anayepotosha maisha yake atagunduliwa.