Proverbs 11:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Apitapitaye akichongea hutoa siri, lakini anayeaminika rohoni huficha siri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Masengenyo husaliti uaminifu, bali mtu mwaminifu hutunza siri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye kitango akisingizia hufunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Apitapitaye akichongea hutoa siri, lakini anayeaminika rohoni huficha siri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Masengenyo husaliti tumaini, bali mtu mwaminifu hutunza siri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Masengenyo husaliti tumaini, bali mtu mwaminifu hutunza siri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Apitapitaye akichongea hutoa siri, lakini anayeaminika rohoni huficha siri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atembeaye na kusingizia hufunua mashauri ya njama, lakini mwenye moyo mwelekevu huficha mambo kama hayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye kitango akisingizia hufunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayepitapita akichongea anatoa siri, lakini anayeaminiwa anaficha siri.