Proverbs 11:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe, lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe, bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye rehema huitendea mema nafsi yake; Aliye mkali hujisumbua mwili wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe, lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwanaume mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe, bali mwanaume katili hujiletea taabu mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe, bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye rehema huitendea mema nafsi yake; Aliye mkali hujisumbua mwili wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe, lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu mwenye huruma hujifanyizia mema mwenyewe, lakini asiye na huruma hujiumiza mwili wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye rehema huitendea mema nafsi yake; Aliye mkali hujisumbua mwili wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mwema anafaidika yeye mwenyewe, lakini mutu mukali anajiumiza mwenyewe.