Proverbs 11:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Faida anayopata mwovu ni ya uongo, lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu, bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Faida anayopata mwovu ni ya uongo, lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu, bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu, bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Faida anayopata mwovu ni ya uongo, lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asiyemcha Mungu hujipatia mali za udanganyifu, lakini apandaye yenye wongofu hujipatia mshahara wa kweli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Faida mwovu anayopata ni ya uongo, lakini anayetenda mema, hakika atapata faida.