Proverbs 11:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu anayepania kuwa mwadilifu ataishi, lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima, bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu anayepania kuwa mwadilifu ataishi, lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima, bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima, bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu anayepania kuwa mwadilifu ataishi, lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wongofu unapeleka uzimani kweli, lakini ayakimbiliaye mabaya huenda kufani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu anayekusudia kuwa mwenye haki ataishi, lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.