Proverbs 11:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kiburi huandamana na fedheha, lakini kwa watu wanyenyekevu mna hekima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali unyenyekevu huja na hekima.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kijapo kiburi ndipo ijapo aibu; Bali hekima hukaa na wanyenyekevu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kiburi huandamana na fedheha, lakini kwa watu wanyenyekevu mna hekima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali unyenyekevu huja na hekima.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali unyenyekevu huja na hekima.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kijapo kiburi ndipo ijapo aibu; Bali hekima hukaa na wanyenyekevu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kiburi huandamana na fedheha, lakini kwa watu wanyenyekevu mna hekima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Majivuno yanapofika, ndipo, matusi yanapofika nayo, lakini werevu wa kweli huwakalia wanyenyekevu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kijapo kiburi ndipo ijapo aibu; Bali hekima hukaa na wanyenyekevu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kiburi kinazaa haya, lakini kwa watu wanyenyekevu kuna hekima.