Proverbs 11:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Matazamio ya waadilifu yana matokeo mema; tamaa za waovu huishia katika ghadhabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema, bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Haja ya mwenye haki ni mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu ni ghadhabu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Matazamio ya waadilifu yana matokeo mema; tamaa za waovu huishia katika ghadhabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema, bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema, bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Haja ya mwenye haki ni kupata mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu huishia katika ghadhabu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Matazamio ya waadilifu yana matokeo mema; tamaa za waovu huishia katika ghadhabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tamaa za waongofu hutamani mema tu, lakini wasiomcha Mungu wanayoyangojea, huwapatia makali.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Haja ya mwenye haki ni mema tu; Bali kutaraji kwake mtu mwovu ni ghadhabu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Matazamio ya wenye haki yana matokeo mazuri; tamaa za waovu zinaleta kasirani.