Proverbs 11:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Atoaye kwa ukarimu huzidi kutajirika; lakini bahili huzidi kudidimia katika umaskini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi, mwingine huzuia, lakini huwa maskini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Atoaye kwa ukarimu huzidi kutajirika; lakini bahili huzidi kudidimia katika umaskini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi, mwingine huzuia, lakini huwa maskini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi, mwingine huzuia, lakini huwa maskini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Atoaye kwa ukarimu huzidi kutajirika; lakini bahili huzidi kudidimia katika umaskini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwingine hujipatia mali zaidi kwa kugawia wengine, lakini mwingine huzidi kukosa mali, ijapo aziweke kupita kiasi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuna watu wanaotoa mali yao kwa wingi na kuzidi; lakini wachoyo wanazilinda na kuendelea katika umasikini.