Proverbs 11:25 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mkarimu atafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nafsi ya mtu mkarimu itawandishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mkarimu atafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nafsi ya mtu mkarimu itastawishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mkarimu atafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Apendaye kugawia hushibishwa mwenyewe, anyweshaye wengine naye hunyweshwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nafsi ya mtu mkarimu itawandishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu anayetoa kwa moyo safi atafanikishwa. Mutu anayekunywesha mwingine maji, naye atakunyweshwa.