Proverbs 11:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu humlaani afichaye nafaka, lakini humtakia baraka mwenye kuiuza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka, bali baraka itamkalia kichwani kama taji yeye aliye radhi kuiuza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Awanyimaye watu nafaka, watu watamlaani; Auzaye nafaka, baraka itakuwa kichwani pake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu humlaani afichaye nafaka, lakini humtakia baraka mwenye kuiuza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka, bali baraka itamkalia kichwani kama taji yeye aliye radhi kuiuza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka, bali baraka itamkalia kichwani kama taji yeye aliye radhi kuiuza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Awanyimaye watu nafaka, watu watamlaani; Auzaye nafaka, baraka itakuwa kichwani pake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu humlaani afichaye nafaka, lakini humtakia baraka mwenye kuiuza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Anyimaye wenzake ngano watu humwapiza, lakini mbaraka hukifia kichwa chake aziuzaye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Awanyimaye watu nafaka, watu watamlaani; Auzaye nafaka, baraka itakuwa kichwani pake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wanamulaani mutu anayeficha ngano, lakini wanamutakia baraka mwenye kuiuzisha.