Proverbs 11:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Matendo ya mwadilifu huleta uhai, lakini uhalifu huuondoa uhai.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huokoa maisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Matendo ya mwadilifu huleta uhai, lakini uhalifu huuondoa uhai.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huvuta roho za watu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima, naye mwenye hekima huvuta roho za watu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Matendo ya mwadilifu huleta uhai, lakini uhalifu huuondoa uhai.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mazao ya mwongofu ni mti wa uzima, mwerevu wa kweli huzishinda roho za watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tunda la mwenye haki ni muti wa uzima, na mwenye hekima anavuta watu.