Proverbs 11:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Utajiri haufai kitu siku ya ghadhabu, lakini uadilifu huokoa kutoka kifo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu, bali haki huokoa kutoka mautini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mali hazifaidii kitu siku ya ghadhabu; Bali haki huokoa na mauti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Utajiri haufai kitu siku ya ghadhabu, lakini uadilifu huokoa kutoka kifo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utajiri haufaidii kitu katika siku ya ghadhabu, bali haki huokoa kutoka mautini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu, bali haki huokoa kutoka mautini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mali hazifaidii kitu siku ya ghadhabu; Bali haki huokoa na mauti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Utajiri haufai kitu siku ya ghadhabu, lakini uadilifu huokoa kutoka kifo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mali hazifai kitu siku, makali yanapotokea, lakini wongofu huponya hata kufani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mali hazifaidii kitu siku ya ghadhabu; Bali haki huokoa na mauti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utajiri haufai kitu siku ya kasirani, lakini haki inaokoa kutoka kifo.