Proverbs 12:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mwadilifu huwajali wanyama wake, lakini huruma ya mwovu ni ukatili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwongofu huzijua roho za nyama wake, afugao lakini huruma zao wasiomcha Mungu ni ukali tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mwenye haki anajali nyama wake, lakini huruma za waovu ni kutesa tu.