Proverbs 12:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mwovu hunaswa kwa uongo wake mwenyewe, lakini mwadilifu hutoka katika taabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mwovu hunaswa kwa uongo wake mwenyewe, lakini mwadilifu hutoka katika taabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mwovu hunaswa kwa uongo wake mwenyewe, lakini mwadilifu hutoka katika taabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mapotovu ya midomo ni kama tanzi baya, lakini mwongofu huponyoka akisongwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mwovu ananaswa kwa uongo wake mwenyewe, lakini mwenye haki anatoka katika taabu.