Proverbs 12:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mpumbavu huiona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima husikiliza shauri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mpumbavu huiona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima husikiliza shauri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mpumbavu huiona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima husikiliza shauri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Njia ya mjinga hunyoka machoni pake, lakini mwerevu wa kweli husikia shauri la mwingine.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mupumbafu anaona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima anasikiliza shauri.