Proverbs 12:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Msema kweli hutoa ushahidi wa kweli, lakini shahidi wa uongo hutamka udanganyifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Msema kweli hutoa ushahidi wa kweli, lakini shahidi wa uongo hutamka udanganyifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Msema kweli hutoa ushahidi wa kweli, lakini shahidi wa uongo hutamka udanganyifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asemaye yaliyo kweli hutangaza yaongokayo, lakini shahidi ya uwongo hudanganya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musema kweli anatoa ushuhuda wa kweli, lakini mushuhuda wa uongo anasema udanganyifu.