Proverbs 12:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maneno ya ovyo hujeruhi kama upanga, lakini asemayo mwenye hekima huponesha kidonda.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maneno ya ovyo hujeruhi kama upanga, lakini asemayo mwenye hekima huponesha kidonda.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maneno ya ushupavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maneno ya ovyo hujeruhi kama upanga, lakini asemayo mwenye hekima huponesha kidonda.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wako wapuzi wachomao mioyo ya watu kama upanga, lakini ndimi zao walio werevu wa kweli huponya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maneno ya ovyo yanaumiza kama upanga, lakini kusema kwa mwenye hekima kunaponyesha kidonda.