Proverbs 12:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wanaopanga maovu wamejaa udanganyifu moyoni, lakini wanaonuia mema hupata furaha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao hupanga mabaya, bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hila imo mioyoni mwao wafikirio uovu; Bali wafanyao mashauri ya amani, kwao kuna furaha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wanaopanga maovu wamejaa udanganyifu moyoni, lakini wanaonuia mema hupata furaha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao hupanga mabaya, bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao hupanga mabaya, bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hila imo mioyoni mwao wafikirio uovu; Bali wafanyao mashauri ya amani, kwao kuna furaha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wanaopanga maovu wamejaa udanganyifu moyoni, lakini wanaonuia mema hupata furaha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Udanganyifu umo mioyoni mwao watungao mabaya, lakini wenye mshauri ya utengemano hufurahisha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hila imo mioyoni mwao wafikirio uovu; Bali wafanyao mashauri ya amani, kwao kuna furaha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanaopanga maovu wamejaa udanganyifu ndani ya moyo, lakini wanaokusudia mema wana furaha.