Proverbs 12:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye busara huficha maarifa yake, lakini wapumbavu hutangaza upumbavu wao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye busara huficha maarifa yake, lakini wapumbavu hutangaza upumbavu wao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye busara huficha maarifa yake, lakini wapumbavu hutangaza upumbavu wao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu aerevukaye huyaficha, anayoyajua, lakini mioyo ya wapumbavu huutangaza ujinga.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mwerevu anaficha maarifa yake, lakini wapumbafu wanatangaza upumbafu wao.