Proverbs 12:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuwa na bidii kutampa mtu cheo, lakini uvivu utamfanya mtumwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuwa na bidii kutampa mtu cheo, lakini uvivu utamfanya mtumwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuwa na bidii kutampa mtu cheo, lakini uvivu utamfanya mtumwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mikono yao wajihimizao kufanya kazi hupata ufundi, lakini mikono ilegeayo hujipatia utumwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuwa na bidii kutamupa mutu cheo, lakini uvivu utamufanya mutumwa.