Proverbs 12:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mwadilifu huuepa uovu, lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye haki ni kiongozi cha mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mwadilifu huuepa uovu, lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mwadilifu huuepa uovu, lakini njia ya waovu huwapotosha wenyewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwongofu humwongoza mwenzake, lakini njia zao wasiomcha Mungu huwapoteza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye haki ni kiongozi cha mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu wa haki anaepuka uovu, lakini njia ya waovu inawapotosha wenyewe.