Proverbs 12:28 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uadilifu ni njia ya uhai, lakini uovu huongoza katika mauti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Katika njia ya haki kuna uzima; katika mapito hayo kuna maisha ya milele.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Katika njia ya haki kuna uhai; Wala hakuna mauti katika mapito yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uadilifu ni njia ya uhai, lakini uovu huongoza katika mauti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Katika njia ya haki kuna uzima; katika mapito hayo kuna maisha ya milele.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Katika njia ya haki kuna uzima; katika mapito hayo kuna maisha ya milele.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Katika njia ya haki kuna uhai; Wala hakuna mauti katika mapito yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uadilifu ni njia ya uhai, lakini uovu huongoza katika mauti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Katika njia ya wongofu ndipo, uzima ulipo; njia hiyo inapopitia, kifo hakipo hapo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Katika njia ya haki kuna uhai; Wala hakuna mauti katika mapito yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Haki ni njia ya uzima, lakini uovu unaongoza katika kifo.