Proverbs 12:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mawazo ya mwadilifu ni ya haki; mashauri ya mwovu ni ya udanganyifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mawazo ya mwenye haki ni adili; Bali mashauri ya mtu mwovu ni hadaa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mawazo ya mwadilifu ni ya haki; mashauri ya mwovu ni ya udanganyifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mawazo ya mwenye haki ni adili; Bali mashauri ya mtu mwovu ni hadaa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mawazo ya mwadilifu ni ya haki; mashauri ya mwovu ni ya udanganyifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mawazo ya waongofu huyataka yanyokayo, lakini mashauri yao wasiomcha Mungu hutaka kudanganya tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mawazo ya mwenye haki ni adili; Bali mashauri ya mtu mwovu ni hadaa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mawazo ya mwenye haki ni ya haki; mashauri ya mwovu ni ya udanganyifu.