Proverbs 12:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waovu huangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya waadilifu hudumishwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wasiomcha Mungu wanapofudikizwa hawako tena, lakini nyumba za waongofu husimama.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Waovu huangamia, hata hawako tena; Bali nyumba ya mwenye haki itasimama.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waovu wanaangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya wenye haki itasimama.