Proverbs 12:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu husifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mtu wa fikira mbaya hudharauliwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu husifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mtu wa fikira mbaya hudharauliwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu husifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mtu wa fikira mbaya hudharauliwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu husifiwa, kama akili zake zilivyo, lakini mwenye moyo mpotovu hubezwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu anasifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mwenye moyo wa mafikiri mabaya anazaruliwa.