Proverbs 12:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Afadhali mtu anayedharauliwa, ikiwa ana mtumwa, Kuliko ajisifuye, ikiwa anahitaji chakula.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Afadhali mtu anayedharauliwa, ikiwa ana mtumwa, Kuliko ajisifuye, ikiwa anahitaji chakula.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Afadhali mtu wa chini anayejitegemea, kuliko ajitakiaye makuu na kukosa chakula.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kunyenyekea na kujitumikia mwenyewe ni kwema, kuliko kujitukuza na kukosa vilaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Afadhali mtu anayedharauliwa, ikiwa ana mtumwa, Kuliko ajisifuye, ikiwa anahitaji chakula.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Afazali mutu wa chini anayejitegemea kuliko yule anayejitakia makubwa na kukosa chakula.